HIZ NI BAADA YA DAKIKA 45 MNYAMA AKIONGOZA KWA BAO 2 Baki wa yanga Kelvin Yondan kati akiondoka na mpira Juma kaseja golikipa wa yanga akijaribu kuokoa pale langoni ni hatari sana Hamis Tambwe akipiga mkwaju wa penalti ulioleta matokeo ya bao 2-0 nani mtani jembe