Msanii wa Hip-hop Jay Z na mke wake Beyonce wamekutana na wanafamilia ya kifalme kwenye mchezo wa Brooklyn Nets dhidi ya Cleveland Cavaliers kwenye kiwanja cha Brooklyn Barclays Center jumatatu hii Wakiwa wamezungukwa na walinzi walikutana na kupeana mikono huku
wakipiga picha chache, wimbo wa Beyonce “Crazy in Love” ulichezwa
uwanjani.
Tuesday